This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Friday, 20 February 2015

Huyu ndiye mkuu mpya wa wilaya ya Iramba mh. LUCY MAYEMBA aliyeteuliwa na J.K. Sema neno lolote kwa uteuzi huu

Huyu ndiye mkuu mpya wa wilaya ya Iramba mh. LUCY MAYEMBA aliyeteuliwa na J.K. Sema neno lolote kwa uteuzi huu...

Wanasayansi wamegundua kwamba wanaume walio wakarimu na wanaowasikiza wake zao kidole chao cha nne ni kirefu ikilinganishwa na kidole chao cha pili

Wanasayansi wamegundua kwamba wanaume walio wakarimu na wanaowasikiza wake zao kidole chao cha nne ni kirefu ikilinganishwa na kidole chao cha pili. Je, unakubaliana na utafiti huu uliofanywa na wanasayansi katika chuo kikuu cha McGill University nchini Canada....

Thursday, 19 February 2015

FUNDI SAA APOKEA KICHAPO BAADA YA KUDAIWA KUMLAWITI MTOTO HUKO ARUSHA

Njemba mmoja ambaye ni fundi saa maeneo ya Stendi Kuu jijini Arusha leo amepokea kipigo cha mbwa mwizi baada ya kudaiwa kumlawiti mwanafunzi wa kiume wa darasa la tatu wa shule moja jijini hu...

Mapigano ya Magaidi na Polisi Mapango ya Amboni Tanga Hii ndio..........

Mapigano ya Magaidi na Polisi Mapango ya Amboni Tanga Hii ndio Full Story NI kama kumekucha! Siku chache tu baada ya Gazeti la Ijumaa (ndugu na hili) kuandika ukurasa wake wa mbele habari yenye kichwa; Kiongozi wa kikundi cha kigaidi kinachoua polisi na kuiba silaha kwenye vituo nchini...NI HUYU, kundi jingine limeibuka na kuandika mkanda wa video wakizungumzia uhalifu.... Cha ajabu, sanjari na kundi hilo linalodai liko Tanga, Tanga hukohuko...

Thursday, 12 February 2015

UN yailaumu Tanzania kwa yanayotokea DRC

Umoja wa mataifa imezituhumu serikali za Tanzania na Burundi kuhusiana na hali katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo. Ripoti mpya ya kundi la wataalamu wa umoja huo kuhusu Congo, imeituhumu Tanzania kwa kuwaruhusu viongozi wa kundi la waasi wa FDLR kuandaa mikutano nchini humo. Imeeleza pia kwamba wanajeshi wa Burundi wametekeleza unyanyasaji wa kingono. Taarifa hiyo ya Umoja wa mataifa inasema kuwa tangu mwaka wa 2013, viongozi wa FDLR na...

zanzibar SAUTI ZA BUSARA......

Alikiba akiwa tayari kwa ajili ya SAUTI ZA BUSARA Zanzibar..... Makamuzi yanaendelea......

Serikali yaiagiza TANESCO kushusha bei ya umeme

Serikali yaiagiza TANESCO kushusha bei ya umeme Waziri wa Nishati na Madini nchini Tanzania Mh. George Simbachawene amelitaka shirika la umeme nchini (TANESCO) kupunguza bei ya umeme kutokana na kushuka kwa bei ya mafuta katika soko la dunia. Soma Zaid hapa Waziri wa Nishati na Madini nchini Tanzania Mh. George Simbachawene amelitaka shirika la umeme nchini (TANESCO) kupunguza bei ya umeme kutokana na kushuka kwa bei ya mafuta katika soko la dunia. Akizungumza...

Saturday, 7 February 2015

JE WEST HAM ATAKUFA KWELI KWA KIKOSI HIKI????? TOA MAONI YAKO

...

HARRY KANE WA SPURS AENDELEA KUWA TISHIO KWA TIMU KUBWA UINGEREZA........ Aipiga Arsenal...

Kane raiya wa England anaendelea kua tishio na kung'aa baada ya kuilaza arsenal kwa mabao mawili,...

HIVI NDIVYO ILIVYOKUA INDIA KWENYE SHOW YA DIAMOND

Hii ni moja ya picha ya msanii wa kizazi Kipya Naseeb Abdul marufu kama Diamond alipokua akifanya shoo India jana usiku.. shoo ilikua poa sa...

Rose Ndauka: Sitazaa Tena Nje ya Ndoa

DIVA wa sinema za Kibongo, Rose Ndauka amefunguka kuwa alikosea kuzaa nje ya ndoa, na sasa hana mpango huo tena. Rose alisema suala la ujauzito wakati mwingine linaweza kumjia mtu bila kupenda lakini kwa sasa atajitahidi kuona anazaa akiwa ndani ya ndoa. “Lolote linaweza kutokea lakini kiukweli kwa sasa nitakuwa makini kidogo na ninamuomba Mungu anisaidie mtoto wa pili nimzalie ndani ya ndoa,” alisema Rose ambaye alizaa na Mbongo Fleva,...

Aunt: Mimba Yangu Siyo ya Waziri!

Muigizaji  wa filamu Aunt Ezekiel Grayson amevunja ukimya na kupinga vikali tetesi za ujauzito wake kuhusishwa na mmoja wa mawaziri wa sasa wa maliasili na utalii  akibainisha kuwa jambo hilo linautesa moyo wake. Akizungumza na GPL, Aunt alifunguka kwamba, mbali na kumzushia juu ya ujauzito huo, kuwa mara ya kwanza watu asiowajua walieneza uvumi kuwa alikwenda nchini Marekani na mheshimiwa huyo lakini aliwapuuza kwa kuwa alikwenda kwa...

Friday, 6 February 2015

[ Zari Hassan kufunga ndoa na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, "Asema hakuna umri maalumu wa Kuoa au Kuolewa

WAKATI mama mzazi wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kasim ‘Sandra’ akiwa nchini India kwa matibabu ya tatizo la kiafya linalodaiwa kuwa ni kupooza, hapa Bongo dalili za Diamond na mpenzi wa...