Friday 27 March 2015

HUYU NDIO MBUNGE MZURI ZAIDI TANZANIA...... BONGO MOVIES WOTE WANAKAA CHINI ANIII...... jina lake Catherine Magige





Catherine Magige Mbuge wa Arusha atajwa kua mbunge mzuri zaidi,, ana mvuto wa sura,, shape analo yuko vizuri aseeeeee!!!!! Ukimuangalia fasta fasta bila kuambiwa anafanya kazi gani,, utasema anacheza sinema za Bongo movies lakini lahashaa. Yeye ni mbunge mwenye mvuto wa aina yake... yuko smart, photogenic, na sifa nyingine nzuri ni nouma sanaaaaaa 

0 comments:

Post a Comment