Tuesday 14 July 2015

50 cent hatarini kufilisika

Moja ya wasani maarufu duniani na nyota wa miondoko ya hiphop, rapa 50 Cent , aomba sheria ya kufilisika yenye kifungu cha 11 imlinde na mali zake huko marekani.
Hoja hiyo ilikuja siku chache baada ya mahakama kuamuru rapa huyo alipe dola za kimarekani milioni tano kwa mwanamke aliemshitaki kwakile alichokisema kuwa aliweka video chafu mitandanoni bila ya ridha yake.
Mwanamziki huyo mwenye jina halisi la Curtis James Jackson wa tatu ameuza zaidi ya albamu milioni thelathini duniani kote

0 comments:

Post a Comment