This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Thursday, 23 July 2015

TARIBO WEST AKIRI ALIKUA ANATUMIA UCHAWI KUCHEZA SOKA

Mlinzi wa zamani wa timu ya taifa ya Nigeria maarufu kama Supper Eagles, hivi karibuni alitoa ushuhuda wa ajabu na kuwashtua watu wengi. Taribo West ambaye alikuwa ni kivutio sana uwanjani enzi za ujana wake akiwa na Supper Eagles sasa ameokoka na kuwa mchungaji. Taribo alishuhudia kwamba alikuwa akipelekwa na meneja wake nchini Senegal kwa waganga wa kienyeji ili aupige mwingi uwanjani. Taribo West anasema alikatwa baadhi ya sehemu za ulimi,...

Tuesday, 14 July 2015

MZEE YUSUPH AMESEMA INABID AACHE MZIKI KABISA

Lazima niache muziki- Mzee Yusup Mwimbaji mahiri wa muziki wa Taarab nchini ambaye pia ni mkurugenzi wa kundi la Jahazi Modern Taarabu, Mzee Yusuph amefunguka na kusema kuwa lazima aache muziki na kufanya kazi zingine nje ya muziki Mzee Yusuph alisema hayo alipohojiwa na mtangazaji wa Tam Tam za Mwambao ya East Africa Radio, Mwanne Othman. Mzee Yusuph alisema kuwa kwa sasa anataraji kutoa album mbili za mwisho ili aweze kuachana...

DILI LA STERLING KWENDA MANCHESTER CITY LIMETICK

Sakata hili lililoteka hisia za mashabiki duniani kote ikiwa ni pamoja na vyombo vya habari, limefikia tamati wakati ambao timu zinajiandaa na msimu mpya. Juzi Raheem Sterling alitajwa kwenye kikosi kitakacho safiri na kikosi cha Liverpool kuelekea kwenye mechi za pre-season, jana zikatoka habari kwamba hatasafiri na kikosi hicho. Leo hii hatimaye klabu za Liverpool na Manchester City zimefikia makubaliano katika sakata la usajili wa kiungo...

HAYA SASA KWA WALE WA CHELSEA , MOURINHO ANATAKA SAINI YA HUYU NYOTA WA BARCELONA

Mwanzoni kabisa wa kipindi cha usajili Jose Mourinho alisema kwamba kwenye kipindi hiki cha usajili hatafanya sana usajili kwasababu anakikosi kizuri. Lakini pia alisema atafanya usajili mdogo tu kuziba sehemu ambazo anadhani zinahitaji usajili. Kocha Jose Mourinho wa Chelsea amepanga kuwania saini ya mshambuliaji Mhispania, Pedro Rodriguez anayekipiga Fc Barcelona kwa ada ya pauni milioni 22. Pedro ambaye hafurahii maisha hivi sasa kutokana...

wazazi wa Iker Cassilas wamchana Florentino Perez ....

Wazazi wa Iker Casillas wamesema kuwa, kuondoka kwa mtoto wao katika klabu yake pendwa ya Real Madrid ni kutokana na kampeni chafu inayoendelea kutoka kwa rais wa klabu hiyo Florentino na kusisitiza kuwa, mtoto wao alipaswa kumalizia maisha yake ya soka katika klabu yenye hadhi ya juu na si kama klabu aina na Porto. “Mbona wakati wa marais Lorenzo Sanz na Ramon Calderon, alikuwa akilelewa vema,” waliiambia El Mundo. “Lakini Florentino Perez...

50 cent hatarini kufilisika

Moja ya wasani maarufu duniani na nyota wa miondoko ya hiphop, rapa 50 Cent , aomba sheria ya kufilisika yenye kifungu cha 11 imlinde na mali zake huko marekani. Hoja hiyo ilikuja siku chache baada ya mahakama kuamuru rapa huyo alipe dola za kimarekani milioni tano kwa mwanamke aliemshitaki kwakile alichokisema kuwa aliweka video chafu mitandanoni bila ya ridha yake. Mwanamziki huyo mwenye jina halisi la Curtis James Jackson wa tatu ameuza...

Team ya manchester united ikiwa taari kwa safari kuelekea marekani kwa maandalizi ya msimu ujao.......

Friday, 27 March 2015

Rooney : sitashangilia tena kwa mtindo wa boxing

Wayne Rooney amesema kwamba hatoshangilia tena kwa mtindo wa 'boxing' kwa sababu mkewe alimuona mwanae wa kwanza Kai akiiga ushangiliaji wa baba yake darasani akiigiza kupigana na wenzie....

HUYU NDIO MBUNGE MZURI ZAIDI TANZANIA...... BONGO MOVIES WOTE WANAKAA CHINI ANIII...... jina lake Catherine Magige

Catherine Magige Mbuge wa Arusha atajwa kua mbunge mzuri zaidi,, ana mvuto wa sura,, shape analo yuko vizuri aseeeeee!!!!! Ukimuangalia fasta fasta bila kuambiwa anafanya kazi gani,, utasema anacheza sinema za Bongo movies lakini lahashaa. Yeye ni mbunge mwenye mvuto wa aina yake... yuko smart, photogenic, na sifa nyingine nzuri ni nouma sanaaaaaa ...

Agness Masogange atwajwa kua mwanamke mzuri zaidi TANZANIA

Huyu ni mwanamke mzuri Tanzania kutokana na jarida moja la Nigeria. Anaitwa Agness Masogange. Kwa sasa anakula bata huko bondeni kwa Madiba..... wewe una maoni gani? je ni kwel ndo mwanamke mzuri Tanzania?...

Friday, 20 February 2015

Huyu ndiye mkuu mpya wa wilaya ya Iramba mh. LUCY MAYEMBA aliyeteuliwa na J.K. Sema neno lolote kwa uteuzi huu

Huyu ndiye mkuu mpya wa wilaya ya Iramba mh. LUCY MAYEMBA aliyeteuliwa na J.K. Sema neno lolote kwa uteuzi huu...

Wanasayansi wamegundua kwamba wanaume walio wakarimu na wanaowasikiza wake zao kidole chao cha nne ni kirefu ikilinganishwa na kidole chao cha pili

Wanasayansi wamegundua kwamba wanaume walio wakarimu na wanaowasikiza wake zao kidole chao cha nne ni kirefu ikilinganishwa na kidole chao cha pili. Je, unakubaliana na utafiti huu uliofanywa na wanasayansi katika chuo kikuu cha McGill University nchini Canada....

Thursday, 19 February 2015

FUNDI SAA APOKEA KICHAPO BAADA YA KUDAIWA KUMLAWITI MTOTO HUKO ARUSHA

Njemba mmoja ambaye ni fundi saa maeneo ya Stendi Kuu jijini Arusha leo amepokea kipigo cha mbwa mwizi baada ya kudaiwa kumlawiti mwanafunzi wa kiume wa darasa la tatu wa shule moja jijini hu...

Mapigano ya Magaidi na Polisi Mapango ya Amboni Tanga Hii ndio..........

Mapigano ya Magaidi na Polisi Mapango ya Amboni Tanga Hii ndio Full Story NI kama kumekucha! Siku chache tu baada ya Gazeti la Ijumaa (ndugu na hili) kuandika ukurasa wake wa mbele habari yenye kichwa; Kiongozi wa kikundi cha kigaidi kinachoua polisi na kuiba silaha kwenye vituo nchini...NI HUYU, kundi jingine limeibuka na kuandika mkanda wa video wakizungumzia uhalifu.... Cha ajabu, sanjari na kundi hilo linalodai liko Tanga, Tanga hukohuko...

Thursday, 12 February 2015

UN yailaumu Tanzania kwa yanayotokea DRC

Umoja wa mataifa imezituhumu serikali za Tanzania na Burundi kuhusiana na hali katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo. Ripoti mpya ya kundi la wataalamu wa umoja huo kuhusu Congo, imeituhumu Tanzania kwa kuwaruhusu viongozi wa kundi la waasi wa FDLR kuandaa mikutano nchini humo. Imeeleza pia kwamba wanajeshi wa Burundi wametekeleza unyanyasaji wa kingono. Taarifa hiyo ya Umoja wa mataifa inasema kuwa tangu mwaka wa 2013, viongozi wa FDLR na...

zanzibar SAUTI ZA BUSARA......

Alikiba akiwa tayari kwa ajili ya SAUTI ZA BUSARA Zanzibar..... Makamuzi yanaendelea......

Serikali yaiagiza TANESCO kushusha bei ya umeme

Serikali yaiagiza TANESCO kushusha bei ya umeme Waziri wa Nishati na Madini nchini Tanzania Mh. George Simbachawene amelitaka shirika la umeme nchini (TANESCO) kupunguza bei ya umeme kutokana na kushuka kwa bei ya mafuta katika soko la dunia. Soma Zaid hapa Waziri wa Nishati na Madini nchini Tanzania Mh. George Simbachawene amelitaka shirika la umeme nchini (TANESCO) kupunguza bei ya umeme kutokana na kushuka kwa bei ya mafuta katika soko la dunia. Akizungumza...

Saturday, 7 February 2015

JE WEST HAM ATAKUFA KWELI KWA KIKOSI HIKI????? TOA MAONI YAKO

...

HARRY KANE WA SPURS AENDELEA KUWA TISHIO KWA TIMU KUBWA UINGEREZA........ Aipiga Arsenal...

Kane raiya wa England anaendelea kua tishio na kung'aa baada ya kuilaza arsenal kwa mabao mawili,...

HIVI NDIVYO ILIVYOKUA INDIA KWENYE SHOW YA DIAMOND

Hii ni moja ya picha ya msanii wa kizazi Kipya Naseeb Abdul marufu kama Diamond alipokua akifanya shoo India jana usiku.. shoo ilikua poa sa...

Rose Ndauka: Sitazaa Tena Nje ya Ndoa

DIVA wa sinema za Kibongo, Rose Ndauka amefunguka kuwa alikosea kuzaa nje ya ndoa, na sasa hana mpango huo tena. Rose alisema suala la ujauzito wakati mwingine linaweza kumjia mtu bila kupenda lakini kwa sasa atajitahidi kuona anazaa akiwa ndani ya ndoa. “Lolote linaweza kutokea lakini kiukweli kwa sasa nitakuwa makini kidogo na ninamuomba Mungu anisaidie mtoto wa pili nimzalie ndani ya ndoa,” alisema Rose ambaye alizaa na Mbongo Fleva,...

Aunt: Mimba Yangu Siyo ya Waziri!

Muigizaji  wa filamu Aunt Ezekiel Grayson amevunja ukimya na kupinga vikali tetesi za ujauzito wake kuhusishwa na mmoja wa mawaziri wa sasa wa maliasili na utalii  akibainisha kuwa jambo hilo linautesa moyo wake. Akizungumza na GPL, Aunt alifunguka kwamba, mbali na kumzushia juu ya ujauzito huo, kuwa mara ya kwanza watu asiowajua walieneza uvumi kuwa alikwenda nchini Marekani na mheshimiwa huyo lakini aliwapuuza kwa kuwa alikwenda kwa...

Friday, 6 February 2015

[ Zari Hassan kufunga ndoa na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, "Asema hakuna umri maalumu wa Kuoa au Kuolewa

WAKATI mama mzazi wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kasim ‘Sandra’ akiwa nchini India kwa matibabu ya tatizo la kiafya linalodaiwa kuwa ni kupooza, hapa Bongo dalili za Diamond na mpenzi wa...

Friday, 30 January 2015

NIPIGE MKE WANGU MAANA MDA MWINGINE NAKOSA ADABU!!

Friday, January 30, 2015 Shilole aomba radhi kwa kumdunda Nuh Mziwanda .......Nuh naye kasema yupo tayari kupigwa mpaka AKOME!!! Baada ya Shilole  kumchapa vibao mchumba wake Nuh Mziwanda, Shilole amelazimika kuomba radhi. Shilole amewaomba radhi mashabiki wake kwenye mtandao wa Instagram kwa kupost picha akiwa na mpenzi wake huyo na kuandika:   “Huyu hapa mjanja wangu mimi, daah nimekamatika hapa, na naamini ni mwanaume sahihi kwangu...

Tuesday, 27 January 2015

Ushuhuda Huu wa Mzungu Kuhusu Wauza Madawa ya Kulevya

Jan 26, 2015 Ushuhuda Huu wa Mzungu Kuhusu Wauza Madawa ya Kulevya 'Unga’ Ufanyiwe Kazi Kwa zaidi ya wiki tatu sasa, Watanzania wamekuwa wenyeji wa mgeni ambaye ujio wake nchini umekuwa wa aina yake. Tunaweza kusema ugeni huo siyo wa kawaida, kwani tumezoea kuona ziara za wanasiasa, wafanyabiashara na wageni wengine wengi kutoka katika mataifa mbalimbali wanaokuja kwa ziara za kiserikali na nyinginezo, mbali na watalii wanaotembelea nchi yetu kujionea...

Mama wa Mapacha sita anunuliwa nyumba

Tuesday, 27 January 2015 Mama wa Mapacha sita anunuliwa nyumba Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Covenant Bank Balozi, Salome Sijaona(Katikati) akikata utepe, kuashilia uzinduzi Rasmi wa nyumba aliyokabidhiwa Salome Mhando ambaye alitelekezwa na mume wake baada ya kujifungua watoto mapacha mfurulizo hadi kufikia sita na kukosa Mahali pa kuishi, Covenant Bank imemkabidhi nyumba hiyo ambayo ataimiliki yeye mwenyewe pamoja na thamani za ndani na...

AIBU ILIOJE

Tuesday, January 27, 2015 AIBU: Shilole Amchapa Makofi Mpenzi wake Nuhu Mziwanda Jumamosi iliyopita ndani ya Tamasha la Kiboko Yao lililofanyika Leaders Club, Gazeti la Makorokocho lilishudia live Msanii Shilole akimchezeshea kichapo mchumba wake Nuh Mziwanda kwa madai kuwa Nuh alikua hataki kuondoka nae eneo la tukio....   Mchekeshaji Steve Nyerere alijitokeza kuamulia ugomvi na kufanikiwa kumtoa Shilole eneo lile lakini baada ya muda Shilole...

Monday, 26 January 2015

Mwanamke Awaua watoto wake wawili na Kuwazika ndani ya Nyumba Yake

Mwanamke Awaua watoto wake wawili na Kuwazika ndani ya Nyumba Yake Mwanamke mmoja  mkazi wa mkoa wa Tabora wilaya ya Tabora mjini kata ya Chemchem amewaua watoto wake wawili  na kuwazika ndani ya nyumba yake. Mwanamke  huyo  amedai  kuwa  kilichomfanya  awalishe  sumu  watoto  wake  ni ugumu  wa  maisha  uliokuwa  ukimkabili  baada  ya  kikimbiwa  na ...

Saturday, 24 January 2015

TUKIO LA KINYAMA:MWENYEKITI AKATWA KICHWA NA SEHEMU ZA SIRI KISHA KUWEKWA KWENYE SUFURIA

Ni Tukio la kuskitisha sana ktk kijiji cha songambele wilayan MLELE mkoan KATAVI watu wasiofahamika wamemvamia mwenyekiti wa kijiji cha songambele na kisha kutenganisha kichwa na kiwiliwili na pia sehemu zake za siri na kisha kukata mkono wake mara mbili baada ya kufanya kitendo hicho walichukua viungo walivyokata kutoka kwa mwenyekiti huyo na kisha kuvitia kwenye sifuria wakaweka maji na kisha kubandika kwny moto n kuanza kuvipika baada ya Tukio...

KATI YA ZARI 41, NA WEMA 26.... YUPI BORA..................................... DIAMOND NDO MWENYE MAJIB

The younger Wema Sepetu:And then the old Zari                                                                                                                   ...

MATOKEO KOMBE LA FA MPAKA SASA......

Matokeo ya michuano ya FA jumamosi kufiki sasa Blackburn 3 - 1 Swansea FT Birmingham 0 - 2 West Brom L Cardiff 1 - 0 Reading L Chelsea 2 - 1 Bradford L Derby 1 - 0 Chesterfield L Man City 0 - 0 Middlesbrough L Preston 1 - 0 Sheff Utd L Southampton 2 - 3 Crystal Palace L Sunderland 0 - 0 Fulham L Tottenham 1 - 0 Leicester...

Rais Kikwete awateua mawaziri 8 Tanzania

Rais Jakaya kikwetu wa Tanzania ametangaza mabadiliko katika baraza lake la mawaziri. Rais amewateua mawaziri wanane wapya pamoja na manaibu watano. Tangazo hilo lilifanywa na katibu katika ikulu ya rais balozi Ombeni Sefue. Mabadiliko hayo yanajumuisha wadhfa wa waziri wa nishati na kawi wa Profesa Muhongo ambaye amejiuzulu mapema leo pamoja na wadhfa wa waziri wa ardhi ambao uliwachwa wazi baada ya kupigwa kalamu kwa Anna Tibaijuka. Mawaziri...

MAMBO YA KUZINGATIA UKIWA NA UJAUZITO

Ujauzito ni safari ndefu inayomchukua mwanamke miezi tisa au majuma arobaini hadi kujifungua. Ni safari yenye mikikimikiki na hatari nyingi kwa mama na mtoto. Tusichukulie suala la ujauzito kama jambo la kawaida ingawa pia ni wajibu kwa mwanamke. Ujauzito siyo hali ya hatari au kutisha endapo mambo ya msingi yatazingatiwa kabla ya kuwa mjamzito na kipindi cha ujauzito hadi baada kujifungua. Katika kipindi cha ujauzito kuna mambo mengi ambayo...

Nigeria (nollywood) nao wafanya madudu kama bongo movies.......

            whats Wrong With This Photo from Nigerian Movies?! wavaa nguo za ajabu ambazo ziko nje ya maadili..... af zaidi ukiangalia kwa nyuma kuna kioo ambacho kinaonesha wapiga picha na watu wengine ambao sio sehemu ya kipande hichi cha mo...

TIKO AWAVAA WANAUME!!!

Saturday, January 24, 2015 Tiko Awavaa Wanaume Wanaodai yeye ni GOGO Kitandani Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Tiko Hassan amesema hakuna kauli ambayo haipendi kama kuambiwa si hodari wa mapenzi (gogo) wakati anajiamini yupo vizuri katika sekta hiyo. Tiko alifunguka kauli hiyo alipokuwa akifanya mahojiano na mwandishi wetu na lilipofika suala la malovee, Tiko aling’aka vibaya mara baada ya kuambiwa kuwa kuna marafiki zake wanamuita gogo.   “Wee...

Majambazi Yaitikisa Zanzibar

Saturday, January 24, 2015 Majambazi Yaitikisa Zanzibar Jeshi la polisi Zanzibar kwa kushirikiana na wafanyabiashara wa machinga walioko darajani Zanzibar  wamefankiwa kuwakamata majambazi wawili  huku kukiwa na taarifa kuwa mmoja amefariki baada ya kutupiana risasi  na kusababisha kizaazaa cha aina yake mjini Zanzibar.   Hali hiyo imetokea baada ya  polisi  kuanza  kuwasaka na kuyafuata majambazi hayo ambayo...