Tuesday 27 January 2015

AIBU ILIOJE


Tuesday, January 27, 2015

AIBU: Shilole Amchapa Makofi Mpenzi wake Nuhu Mziwanda


Jumamosi iliyopita ndani ya Tamasha la Kiboko Yao lililofanyika Leaders Club, Gazeti la Makorokocho lilishudia live Msanii Shilole akimchezeshea kichapo mchumba wake Nuh Mziwanda kwa madai kuwa Nuh alikua hataki kuondoka nae eneo la tukio....

 

Mchekeshaji Steve Nyerere alijitokeza kuamulia ugomvi na kufanikiwa kumtoa Shilole eneo lile lakini baada ya muda Shilole akarudi na kumdai funguo ya gari Nuh ambaye siku hiyo alionekana kuwa mpole ikabidi mabaunsa waingilie kati na kumtoa kwa nguvu shilole....

 

Baadae Nuh alionekana akitoa machozi na Malkia wa Taarabu Khadija Kopa alionekana akimbembeleza na kumfuta machozi.

0 comments:

Post a Comment