This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Friday, 30 January 2015

NIPIGE MKE WANGU MAANA MDA MWINGINE NAKOSA ADABU!!

Friday, January 30, 2015 Shilole aomba radhi kwa kumdunda Nuh Mziwanda .......Nuh naye kasema yupo tayari kupigwa mpaka AKOME!!! Baada ya Shilole  kumchapa vibao mchumba wake Nuh Mziwanda, Shilole amelazimika kuomba radhi. Shilole amewaomba radhi mashabiki wake kwenye mtandao wa Instagram kwa kupost picha akiwa na mpenzi wake huyo na kuandika:   “Huyu hapa mjanja wangu mimi, daah nimekamatika hapa, na naamini ni mwanaume sahihi kwangu...

Tuesday, 27 January 2015

Ushuhuda Huu wa Mzungu Kuhusu Wauza Madawa ya Kulevya

Jan 26, 2015 Ushuhuda Huu wa Mzungu Kuhusu Wauza Madawa ya Kulevya 'Unga’ Ufanyiwe Kazi Kwa zaidi ya wiki tatu sasa, Watanzania wamekuwa wenyeji wa mgeni ambaye ujio wake nchini umekuwa wa aina yake. Tunaweza kusema ugeni huo siyo wa kawaida, kwani tumezoea kuona ziara za wanasiasa, wafanyabiashara na wageni wengine wengi kutoka katika mataifa mbalimbali wanaokuja kwa ziara za kiserikali na nyinginezo, mbali na watalii wanaotembelea nchi yetu kujionea...

Mama wa Mapacha sita anunuliwa nyumba

Tuesday, 27 January 2015 Mama wa Mapacha sita anunuliwa nyumba Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Covenant Bank Balozi, Salome Sijaona(Katikati) akikata utepe, kuashilia uzinduzi Rasmi wa nyumba aliyokabidhiwa Salome Mhando ambaye alitelekezwa na mume wake baada ya kujifungua watoto mapacha mfurulizo hadi kufikia sita na kukosa Mahali pa kuishi, Covenant Bank imemkabidhi nyumba hiyo ambayo ataimiliki yeye mwenyewe pamoja na thamani za ndani na...

AIBU ILIOJE

Tuesday, January 27, 2015 AIBU: Shilole Amchapa Makofi Mpenzi wake Nuhu Mziwanda Jumamosi iliyopita ndani ya Tamasha la Kiboko Yao lililofanyika Leaders Club, Gazeti la Makorokocho lilishudia live Msanii Shilole akimchezeshea kichapo mchumba wake Nuh Mziwanda kwa madai kuwa Nuh alikua hataki kuondoka nae eneo la tukio....   Mchekeshaji Steve Nyerere alijitokeza kuamulia ugomvi na kufanikiwa kumtoa Shilole eneo lile lakini baada ya muda Shilole...

Monday, 26 January 2015

Mwanamke Awaua watoto wake wawili na Kuwazika ndani ya Nyumba Yake

Mwanamke Awaua watoto wake wawili na Kuwazika ndani ya Nyumba Yake Mwanamke mmoja  mkazi wa mkoa wa Tabora wilaya ya Tabora mjini kata ya Chemchem amewaua watoto wake wawili  na kuwazika ndani ya nyumba yake. Mwanamke  huyo  amedai  kuwa  kilichomfanya  awalishe  sumu  watoto  wake  ni ugumu  wa  maisha  uliokuwa  ukimkabili  baada  ya  kikimbiwa  na ...

Saturday, 24 January 2015

TUKIO LA KINYAMA:MWENYEKITI AKATWA KICHWA NA SEHEMU ZA SIRI KISHA KUWEKWA KWENYE SUFURIA

Ni Tukio la kuskitisha sana ktk kijiji cha songambele wilayan MLELE mkoan KATAVI watu wasiofahamika wamemvamia mwenyekiti wa kijiji cha songambele na kisha kutenganisha kichwa na kiwiliwili na pia sehemu zake za siri na kisha kukata mkono wake mara mbili baada ya kufanya kitendo hicho walichukua viungo walivyokata kutoka kwa mwenyekiti huyo na kisha kuvitia kwenye sifuria wakaweka maji na kisha kubandika kwny moto n kuanza kuvipika baada ya Tukio...

KATI YA ZARI 41, NA WEMA 26.... YUPI BORA..................................... DIAMOND NDO MWENYE MAJIB

The younger Wema Sepetu:And then the old Zari                                                                                                                   ...

MATOKEO KOMBE LA FA MPAKA SASA......

Matokeo ya michuano ya FA jumamosi kufiki sasa Blackburn 3 - 1 Swansea FT Birmingham 0 - 2 West Brom L Cardiff 1 - 0 Reading L Chelsea 2 - 1 Bradford L Derby 1 - 0 Chesterfield L Man City 0 - 0 Middlesbrough L Preston 1 - 0 Sheff Utd L Southampton 2 - 3 Crystal Palace L Sunderland 0 - 0 Fulham L Tottenham 1 - 0 Leicester...

Rais Kikwete awateua mawaziri 8 Tanzania

Rais Jakaya kikwetu wa Tanzania ametangaza mabadiliko katika baraza lake la mawaziri. Rais amewateua mawaziri wanane wapya pamoja na manaibu watano. Tangazo hilo lilifanywa na katibu katika ikulu ya rais balozi Ombeni Sefue. Mabadiliko hayo yanajumuisha wadhfa wa waziri wa nishati na kawi wa Profesa Muhongo ambaye amejiuzulu mapema leo pamoja na wadhfa wa waziri wa ardhi ambao uliwachwa wazi baada ya kupigwa kalamu kwa Anna Tibaijuka. Mawaziri...

MAMBO YA KUZINGATIA UKIWA NA UJAUZITO

Ujauzito ni safari ndefu inayomchukua mwanamke miezi tisa au majuma arobaini hadi kujifungua. Ni safari yenye mikikimikiki na hatari nyingi kwa mama na mtoto. Tusichukulie suala la ujauzito kama jambo la kawaida ingawa pia ni wajibu kwa mwanamke. Ujauzito siyo hali ya hatari au kutisha endapo mambo ya msingi yatazingatiwa kabla ya kuwa mjamzito na kipindi cha ujauzito hadi baada kujifungua. Katika kipindi cha ujauzito kuna mambo mengi ambayo...

Nigeria (nollywood) nao wafanya madudu kama bongo movies.......

            whats Wrong With This Photo from Nigerian Movies?! wavaa nguo za ajabu ambazo ziko nje ya maadili..... af zaidi ukiangalia kwa nyuma kuna kioo ambacho kinaonesha wapiga picha na watu wengine ambao sio sehemu ya kipande hichi cha mo...

TIKO AWAVAA WANAUME!!!

Saturday, January 24, 2015 Tiko Awavaa Wanaume Wanaodai yeye ni GOGO Kitandani Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Tiko Hassan amesema hakuna kauli ambayo haipendi kama kuambiwa si hodari wa mapenzi (gogo) wakati anajiamini yupo vizuri katika sekta hiyo. Tiko alifunguka kauli hiyo alipokuwa akifanya mahojiano na mwandishi wetu na lilipofika suala la malovee, Tiko aling’aka vibaya mara baada ya kuambiwa kuwa kuna marafiki zake wanamuita gogo.   “Wee...

Majambazi Yaitikisa Zanzibar

Saturday, January 24, 2015 Majambazi Yaitikisa Zanzibar Jeshi la polisi Zanzibar kwa kushirikiana na wafanyabiashara wa machinga walioko darajani Zanzibar  wamefankiwa kuwakamata majambazi wawili  huku kukiwa na taarifa kuwa mmoja amefariki baada ya kutupiana risasi  na kusababisha kizaazaa cha aina yake mjini Zanzibar.   Hali hiyo imetokea baada ya  polisi  kuanza  kuwasaka na kuyafuata majambazi hayo ambayo...

Afisa kutoweka na fedha za mfuko wa jimbo

Saturday, January 24, 2015 Afisa Mtendaji atoweka na fedha za mfuko wa jimbo Kahama JESHI la polisi wilayani Kahama mkoani Shinyanga linamsaka afisa mtendaji wa kata ya Nyandekwa katika halmashauri ya mji wa Kahama Makoye Kintoki kwa tuhuma za kutoweka na fedha za mfuko wa jimbo zinazosaidia kusukuma maendeleo ya wananchi. Kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga Bw. Justus Kamugisha amewaambia waandishi wa Habari kuwa Kintoki amelalamikiwa na mwajili...

Kiuno chamchengua Ommy Dimpoz

Friday, January 23, 2015 Kiuno cha Demu wa Diamond Chamchengua Ommy Dimpoz Umbile la mwanadada aliyefahamika kwa jina moja la Avril kutoka Kenya ambaye aliwahi kudaiwa kutoka kimapenzi na Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’, hivi karibuni lilionesha kumchengua msanii wa Bongo Fleva, Omari Faraji ‘Ommy Dimpoz’ baada ya kutupia picha inayomuonesha akikitolea macho kiwowowo cha demu huyo. Ommy alifanya hivyo kupitia ukurasa wake wa Instragram baada...

Friday, 23 January 2015

7 things to make you feel good

7 things to make you feel good ☆Take heart in this baker’s half-dozen of indulgences that can make you feel better and live longer. If you feel as though everyone’s on your case about working out, avoiding fat-laden foods and not being a couch potato, don’t despair. Luxuriate in these cheap and easy luxuries. No thousand-dollar-a-minute health spas here – these are things you can do anywhere. •Stretch. As children, we start off being able to do the splits, climb trees and crawl through small spaces all day long, with no ill-effects. Once we reach...

Wednesday, 21 January 2015

Galaxy S6 to ditch Qualcomm in favour of Samsung Exynos chip

Galaxy S6 to ditch Qualcomm in favour of Samsung Exynos chip Samsung Exynos chip SAMSUNG WILL DITCH QUALCOMM and use its own microprocessors in the next version of the Galaxy smartphone, expected to be called the Galaxy S6. The Korean firm is said to be dropping Qualcomm's Snapdragon processor owing to overheating problems during testing, according to "people with direct knowledge of the matter", Bloomberg said. Samsung will not, therefore,...