This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Friday 30 January 2015

NIPIGE MKE WANGU MAANA MDA MWINGINE NAKOSA ADABU!!


Friday, January 30, 2015

Shilole aomba radhi kwa kumdunda Nuh Mziwanda .......Nuh naye kasema yupo tayari kupigwa mpaka AKOME!!!


Baada ya Shilole  kumchapa vibao mchumba wake Nuh Mziwanda, Shilole amelazimika kuomba radhi.

Shilole amewaomba radhi mashabiki wake kwenye mtandao wa Instagram kwa kupost picha akiwa na mpenzi wake huyo na kuandika:

 

“Huyu hapa mjanja wangu mimi, daah nimekamatika hapa, na naamini ni mwanaume sahihi kwangu maana hawezagi kurusha hata ngumi japo namchokozaga mie mjeuri tu, mnao muhandama mme wangu mmeshindwa, kugombana ni kawaida sana kwenye mapenzi na kama nliwaudhi mashabiki wangu mnisamehe mie nampenda mme wangu.”

 

Naye Nuh Mziwanda aliandika:

Mwanaume lijali aliekamilika ampigi mpenzi wake wala kurudishia kibao au kofi alilopigwa na mpenzi wake.naamini kwenye mapenzi ya kweli wivu lazima na kugombana kwenye mapenzi ni kama kwenda chooni ni swala la kawaida sana.aaaaaaaya mke wangu nimekup rukhsa nipige mpaka nikome.ila all i know its love dats it.Nawapenda Mashabiki wangu pamoja sana .#zimaTaa sie tayari

Tuesday 27 January 2015

Ushuhuda Huu wa Mzungu Kuhusu Wauza Madawa ya Kulevya

Jan 26, 2015

Ushuhuda Huu wa Mzungu Kuhusu Wauza Madawa ya Kulevya 'Unga’ Ufanyiwe Kazi

Kwa zaidi ya wiki tatu sasa, Watanzania wamekuwa wenyeji wa mgeni ambaye ujio wake nchini umekuwa wa aina yake. Tunaweza kusema ugeni huo siyo wa kawaida, kwani tumezoea kuona ziara za wanasiasa, wafanyabiashara na wageni wengine wengi kutoka katika mataifa mbalimbali wanaokuja kwa ziara za kiserikali na nyinginezo, mbali na watalii wanaotembelea nchi yetu kujionea vivutio lukuki vilivyosambaa kila sehemu.

Hata hivyo, ziara ya Padri John Wootherspoon, raia wa Australia aliyekuja nchini Januari Mosi, mwaka huu ni tofauti kabisa na ziara nyingine tulizozizoea. Yeye anaishi China na amepata kibali cha Serikali ya China kutembelea magereza mbalimbali nchini humo na kuwafariji wafungwa. Katika kufanya kazi yake hiyo katika magereza nchini China na majimbo yake ya Hong Kong na Macau, amekutana na wafungwa wengi kutoka nchi mbalimbali duniani na kugundua kwamba kilichowaingiza magerezani ni biashara ya dawa za kulevya.

Kabla ya kuja hapa nchini, Padri Wootherspoon aliliambia gazeti hili, ambalo kwa muda mrefu limekuwa likifuatilia huduma zake katika magereza nchini China kuwa, alikuwa na mpango wa kuitembelea Tanzania baada ya kugundua kwamba idadi ya Watanzania wanaotumikia vifungo katika magereza mbalimbali nchini China ni kubwa mno ikilinganishwa na wafungwa wengine kutoka nchi nyingine. Anasema wafungwa zaidi ya 130 kutoka Tanzania wako katika magereza ya Shek Pik, Stanley, Loo Woo na Macau na kwamba kila mwezi Watanzania wanne hadi sita wanafungwa magerezani kwa makosa hayo.

Kutokana na hali hiyo, Padri Wootherspoon aliamua kuja Tanzania kwa gharama zake mwenyewe ili kuwasaidia wafungwa hao kuwasiliana na familia zao hapa nchini, baada ya kupata mawasiliano ya familia hizo kutoka kwa wafungwa hao. Anasema wafungwa hao walitumiwa tu na wafanyabiashara wakubwa (ambao majina yao tunayahifadhi kwa sasa) kupeleka dawa hizo nchini China na kwamba tangu awasili nchini amewasiliana na familia nyingi za wafungwa hao, ambazo amesema zimo katika umaskini mkubwa. Padri huyo tayari amekutana na Kamishna wa Kitengo cha Kupambana na Dawa za Kulevya, ACP Godfrey Nzowa na kumtaka aende nchini China kupata taarifa za kina kutoka kwa wafungwa hao.

Sisi tunadhani ziara ya Padri huyo hapa nchini ni fursa ya pekee kwa Serikali kupata taarifa muhimu za kusaidia kutokomeza biashara hiyo. Juni, mwaka jana Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi alisema wakati wa kuadhimisha Siku ya Kupiga Vita Matumizi na Biashara ya Dawa za Kulevya Duniani kwamba kazi ya kuwanasa vinara wa biashara hiyo imekuwa ngumu na akisema vijana wa Kitanzania 65 kati ya 403 waliokamatwa nchi za nje kwa kuhusika na usafirishaji wa dawa za kulevya wamehukumiwa kunyongwa nchini China.

Waziri Lukuvi pia alisema vitendo vya rushwa vimekwamisha jitihada na mikakati ya kuwatia mbaroni vigogo wa biashara hiyo. Bahati nzuri ni kwamba Padri Wootherspoon yuko nchini kama sehemu ya suluhisho la tatizo hilo.

Ni matarajio yetu kwamba Serikali itafanya kila linalowezekana kushirikiana naye ili kupata taarifa muhimu zitakazosaidia kuwakamata wamiliki wa biashara hiyo. Hatua hiyo pia itaondoa dhana iliyojengeka miongoni mwa wananchi kwamba kikwazo kikuu katika vita ya kukomesha uhalifu huo kimo ndani ya Serikali yenyewe.

Mama wa Mapacha sita anunuliwa nyumba

Tuesday, 27 January 2015

Mama wa Mapacha sita anunuliwa nyumba

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Covenant Bank Balozi, Salome Sijaona(Katikati) akikata utepe, kuashilia uzinduzi Rasmi wa nyumba aliyokabidhiwa Salome Mhando ambaye alitelekezwa na mume wake baada ya kujifungua watoto mapacha mfurulizo hadi kufikia sita na kukosa Mahali pa kuishi, Covenant Bank imemkabidhi nyumba hiyo ambayo ataimiliki yeye mwenyewe pamoja na thamani za ndani na Bima ya Matibabu kwa Mwaka mzima. Anaeshuhudia ni mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo Sabetha Mwambenja (wa kwanza kushoto) na Salome Mhando (wa kwanza kulia).

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Covenant Bank Balozi, Salome Sijaona (kushoto), Pamoja na Mkurugenzi wa benki Hiyo, Sabetha Mwambenja, wakimkabidhi hati ya kiwanja na Umiliki wa nyumba Salome Mhando, Mama alietelekezwa na mume wake baada ya kujifungua watoto mapacha mfurulizo, hadi kufikia sita, Benki hiyo imemkabidhi nyumba hiyo pamoja na Bima ya Matibabu kwa mwaka mzima

AIBU ILIOJE


Tuesday, January 27, 2015

AIBU: Shilole Amchapa Makofi Mpenzi wake Nuhu Mziwanda


Jumamosi iliyopita ndani ya Tamasha la Kiboko Yao lililofanyika Leaders Club, Gazeti la Makorokocho lilishudia live Msanii Shilole akimchezeshea kichapo mchumba wake Nuh Mziwanda kwa madai kuwa Nuh alikua hataki kuondoka nae eneo la tukio....

 

Mchekeshaji Steve Nyerere alijitokeza kuamulia ugomvi na kufanikiwa kumtoa Shilole eneo lile lakini baada ya muda Shilole akarudi na kumdai funguo ya gari Nuh ambaye siku hiyo alionekana kuwa mpole ikabidi mabaunsa waingilie kati na kumtoa kwa nguvu shilole....

 

Baadae Nuh alionekana akitoa machozi na Malkia wa Taarabu Khadija Kopa alionekana akimbembeleza na kumfuta machozi.

Monday 26 January 2015

Mwanamke Awaua watoto wake wawili na Kuwazika ndani ya Nyumba Yake

Mwanamke Awaua watoto wake wawili na Kuwazika ndani ya Nyumba Yake


Mwanamke mmoja  mkazi wa mkoa wa Tabora wilaya ya Tabora mjini kata ya Chemchem amewaua watoto wake wawili  na kuwazika ndani ya nyumba yake.

Mwanamke  huyo  amedai  kuwa  kilichomfanya  awalishe  sumu  watoto  wake  ni ugumu  wa  maisha  uliokuwa  ukimkabili  baada  ya  kikimbiwa  na  mumewe. 


Kwa  mujibu  wa  jirani  yake, siku  ya  tukio  mwanamke  huyo  alisikika  akichimba  shimbo  ndani  ya  nyumba  yake  kabla  ya  kutangaza  kupotelewa  na  watoto  wake  siku  ya  pili  yake.

Taarifa  ya  kupotea  kwa  watoto  hao   ilimpa  mashaka  jirani  huyo  na  kumlazimu  akatoe  taarifa  polisi  ambapo  maafande  walikuja  na  kufanya  msako  ndani  ya  nyumba  hiyo  ambapo  walifanikiwa  kufukua  maiti  za  watoto  hao. 

Saturday 24 January 2015

TUKIO LA KINYAMA:MWENYEKITI AKATWA KICHWA NA SEHEMU ZA SIRI KISHA KUWEKWA KWENYE SUFURIA

Ni Tukio la kuskitisha sana ktk kijiji cha songambele wilayan MLELE mkoan KATAVI watu wasiofahamika wamemvamia mwenyekiti wa kijiji cha songambele na kisha kutenganisha kichwa na kiwiliwili na pia sehemu zake za siri na kisha kukata mkono wake mara mbili baada ya kufanya kitendo hicho walichukua viungo walivyokata kutoka kwa mwenyekiti huyo na kisha kuvitia kwenye sifuria wakaweka maji na kisha kubandika kwny moto n kuanza kuvipika baada ya Tukio Hilo watu hao walitokomea sehemu isiyofahamika polisi wilayan MLELE wanaendelelea n uchunguz kubaini wahusika wa tukio Hilo. Tukio Hilo limetokea leo majira ya saa saba ucku hayo ndo yaliyojir wilayan kwetu MLELE

KATI YA ZARI 41, NA WEMA 26.... YUPI BORA..................................... DIAMOND NDO MWENYE MAJIB

The younger Wema Sepetu:And then the old Zari                                                                                                                                                                                                        And please not that this lady is 41 years old!
What is it about older women? I have heard it said that the key weapon in an older woman’s arsenal is that she knows how to treat a man but my response is always that a man is not a cat! A man is not feline to be kept. Men are hunters.
Then there is the usual almost cliche rebuttal that a young girl while sweet is usually a bucketload of drama. What do you think?                                                                                                                                                                                                                                                                      If you were to ask Diamond, he would probably say that older ladies are sweeter. Something to do with fine wine and time but what do I know? Personally, I am one of those who believe that raw mangoes taste infinitely better because you can add pilipili and salt to them. Perhaps you like my friend Chege Miati prefer old squishy mangoes. I do not know.
But you see, Diamond dated Wema Sepetu, a young -er lass for quite some time. Sadly, that union ended when he decided to dump her the same way we through day old cold porridge outside the window the very moment he saw Zari, the 41 year old MILF.
Compare the two if you would

MATOKEO KOMBE LA FA MPAKA SASA......

Matokeo ya michuano ya FA jumamosi kufiki sasa
Blackburn 3 - 1 Swansea FT
Birmingham 0 - 2 West Brom L
Cardiff 1 - 0 Reading L
Chelsea 2 - 1 Bradford L
Derby 1 - 0 Chesterfield L
Man City 0 - 0 Middlesbrough L
Preston 1 - 0 Sheff Utd L
Southampton 2 - 3 Crystal Palace L
Sunderland 0 - 0 Fulham L
Tottenham 1 - 0 Leicester L

Rais Kikwete awateua mawaziri 8 Tanzania

Rais Jakaya kikwetu wa Tanzania ametangaza mabadiliko katika baraza lake la mawaziri.
Rais amewateua mawaziri wanane wapya pamoja na manaibu watano.
Tangazo hilo lilifanywa na katibu katika ikulu ya rais balozi Ombeni Sefue.
Mabadiliko hayo yanajumuisha wadhfa wa waziri wa nishati na kawi wa Profesa Muhongo ambaye amejiuzulu mapema leo pamoja na wadhfa wa waziri wa ardhi ambao uliwachwa wazi baada ya kupigwa kalamu kwa Anna Tibaijuka.
Mawaziri hao wawili wanahusishwa na kashfa ya ufisadi ambayo ilimshinikiza mwanasheria mkuu pia kujiuzulu.
Rais Kikwete anatarajiwa kuwaapisha mawaziri hao wapya hii leo katika tangazo litakalorushwa hewani na runinga ya taifa

MAMBO YA KUZINGATIA UKIWA NA UJAUZITO

Ujauzito ni safari ndefu inayomchukua mwanamke miezi tisa au majuma arobaini hadi kujifungua. Ni safari yenye mikikimikiki na hatari nyingi kwa mama na mtoto. Tusichukulie suala la ujauzito kama jambo la kawaida ingawa pia ni wajibu kwa mwanamke.

Ujauzito siyo hali ya hatari au kutisha endapo mambo ya msingi yatazingatiwa kabla ya kuwa mjamzito na kipindi cha ujauzito hadi baada kujifungua. Katika kipindi cha ujauzito kuna mambo mengi ambayo ni mabadiliko humtokea mama na mtoto aliye tumboni.
Katika makala haya tutazungumzia mambo ya kuzingatia kabla ya kuamua kubeba mimba, siyo kila mwanamke anaweza kubeba mimba kwa sababu wengine huwa na matatizo katika mfumo wao wa uzazi, aidha homoni zao hazifanyi kazi vizuri na mayai hayazalishwi au hayapevuki.
Huenda pia mirija ya uzazi imeziba au ana matatizo ndani ya kizazi.

NINI CHA KUFANYA?
Ni vyema upange sasa unataka kuwa mjamzito au mwezi fulani unataka kushika mimba, uwe na mpango. Hata hivyo, hakikisha umri wako upo zaidi ya miaka 20 kwa usalama zaidi wa afya yako.
Mshirikishe mwenzi wako na mwambie ungependa upate ujauzito, siyo vizuri kushtukiza kwani inaweza kukupa ‘stress’ wewe mwenyewe au mwenzako endapo mmoja wenu hajajiandaa kisaikolojia.

CHEKI AFYA YAKO
Hakikisha una afya njema, huna magonjwa sugu kama kisukari, shinikizo la damu, magonjwa mengine ya moyo, kansa, HIV, kifafa, pumu, siko seli au grupu lako la damu ni RH negative.Endapo una matatizo haya hapo juu, basi haraka wasiliana na daktari wako wa masuala ya uzazi akupe ushauri kwani magonjwa mengine yatakusumbua wakati wa ujauzito, au magonjwa yenyewe yatamwathiri mtoto.

Hakikisha huna magonjwa au matatizo katika viungo vya uzazi, mfano kutokwa na uchafu ukeni wenye muwasho na harufu mbaya, vipele au vidonda sehemu za siri, maumivu wakati wa tendo la ndoa, kutokwa na damu au usaha ukeni. Vile vile mfumo wako wa uzazi uwe vizuri, matatizo katika mfumo wa uzazi ni kama vile maumivu ya tumbo chini ya kitovu, kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi, kutopevusha mayai na kukosa hamu ya tendo la ndoa.
VILEVI ACHA
Epuka unywaji wa pombe na uvutaji wa sigara, hili hata kwa mwanaume anayetaka mtoto.
Mwanamke kabla ya kuwa mjamzito hakikisha unakula sana mboga za majani ili upate kiwango kizuri cha vitamin ya Folic Acid, ni vema ule sana mboga za majani au upate virutubisho vya Folic Acid. Endapo hutakuwa na kiwango kizuri cha Folic Acid, kuna hatari ya kuzaa watoto wenye matatizo.

MAZOEZI
Fanya mazoezi mepesi mara kwa mara ili kuimarisha nyonga na viungo vyako vingine na usipate matatizo wakati wa kujifungua. Pata ushauri wa daktari kipindi muafaka.

YANAYOKWAMISHA UJAUZITO
Matatizo yanayoweza kukusababishia usipate mimba ni kutofahamu siku za kupata mimba, kuziba mirija ya uzazi.Pia uwepo wa uvimbe ndani ya kizazi na kwenye vifuko vya mayai. Uvimbe wa aina hii unaweza kutibika kwa dawa na ukaisha au kwa njia ya upasuaji, inategemea na daktari wako atakavyoona na kuamua.

Kwa upande wa wanaume wanaojiandaa kuwa wazazi, ni vema umjulishe mpenzi wako sasa unataka mtoto au lini unataka mtoto. Tibu magonjwa yanayoathiri mfumo wa uzazi, mfano maumivu ya korodani, maumivu ya njia ya mkojo, upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume. Kutoa manii mepesi sana kiasi kwamba baada ya tendo la ndoa manii zote zinatoka ukeni.
Ni vema ukapime mbegu zako za kiume kuona kama zina ubora wa kutosha, usiwe na maumivu yoyote ya mwili kwani yataweza kukusababishia kupunguza nguvu za kiume na kushindwa kufanya tendo la ndoa.

Nigeria (nollywood) nao wafanya madudu kama bongo movies.......

            whats Wrong With This Photo from Nigerian Movies?! wavaa nguo za ajabu ambazo ziko nje ya maadili..... af zaidi ukiangalia kwa nyuma kuna kioo ambacho kinaonesha wapiga picha na watu wengine ambao sio sehemu ya kipande hichi cha movie

TIKO AWAVAA WANAUME!!!


Saturday, January 24, 2015

Tiko Awavaa Wanaume Wanaodai yeye ni GOGO Kitandani


Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Tiko Hassan amesema hakuna kauli ambayo haipendi kama kuambiwa si hodari wa mapenzi (gogo) wakati anajiamini yupo vizuri katika sekta hiyo.

Tiko alifunguka kauli hiyo alipokuwa akifanya mahojiano na mwandishi wetu na lilipofika suala la malovee, Tiko aling’aka vibaya mara baada ya kuambiwa kuwa kuna marafiki zake wanamuita gogo.

 

“Wee nani kasema? Sipendi kuitwa hivyo wakati mwenyewe najijua kabisa ninakuwaje pindi ninapokuwa na mpenzi wangu, najiamini kweli,” alisema Tiko

Majambazi Yaitikisa Zanzibar


Saturday, January 24, 2015

Majambazi Yaitikisa Zanzibar


Jeshi la polisi Zanzibar kwa kushirikiana na wafanyabiashara wa machinga walioko darajani Zanzibar  wamefankiwa kuwakamata majambazi wawili  huku kukiwa na taarifa kuwa mmoja amefariki baada ya kutupiana risasi  na kusababisha kizaazaa cha aina yake mjini Zanzibar.

 

Hali hiyo imetokea baada ya  polisi  kuanza  kuwasaka na kuyafuata majambazi hayo ambayo baada ya kuona wamenaswa  wakaamua kukimbia na kuingia maeneo ambayo yanatumiwa na wafanyabishara  wadogo wadogo maarufu kwa jina la  'dada njoo'.

  

Baada ya kuingia katika maeneo hayo, ndipo wafanyabishara hao wakaanza kuwanasa nakuwabana majambazi hao yaliokuwa katika gari aina ya Noah yenye namba  za usajili ambazo inasemekana ni za bandia.

 

Kamanda wa polisi wa mkoa wa Mjini Magharibi Muccadam Khamis amesema polisi bado inawasaka wengine ingawa amesema uchunguzi unaendelea  na kuthibitisha kuwepo kwa wananchi wanane ambao walipatwa mshtuko na wako hopitali ya Mnazi Mmoja  wakipata  huduma za matibabu.

  

Hata hivyo taarifa zilizopatikana mjini Zanzibar zinadai kuwa jambazi moja ambaye anajulikana kwa jina la Khmais Mabunduki na ambaye alikuwa anasakwa na polisi kwa muda mrefu ndiye aliyefariki kutokana na mapigano hayo, huku bado polisi wakiendelea kuwasaka wengine ambao wako katika mtandao mmoja.

Afisa kutoweka na fedha za mfuko wa jimbo


Saturday, January 24, 2015

Afisa Mtendaji atoweka na fedha za mfuko wa jimbo Kahama


JESHI la polisi wilayani Kahama mkoani Shinyanga linamsaka afisa mtendaji wa kata ya Nyandekwa katika halmashauri ya mji wa Kahama Makoye Kintoki kwa tuhuma za kutoweka na fedha za mfuko wa jimbo zinazosaidia kusukuma maendeleo ya wananchi.

Kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga Bw. Justus Kamugisha amewaambia waandishi wa Habari kuwa Kintoki amelalamikiwa na mwajili wake halmashauri ya mji wa Kahama kutoweka na kiasi cha shilingi 1.7 milioni zilizokuwa zimetolewa na mbunge wa jimbo la Kahama Mhe. James Lembeli kwa ajili ya ujenzi wa gati la maji.
  
Amesema awali mtuhumiwa huyo alikuwa afisa mtendaji wa kata ya Malunga ambapo mbunge Lembeli alimkabidhi kwenye mkutano wa hadhara kiasi cha shilingi Milioni 2.0 kwa ajili ya ujenzi wa gati hilo mwanzoni mwa mwaka huu lakini mpaka sasa kazi hiyo haijafanyika na kutoweka nazo ingawa ukaguzi wa hesabu za ndani unaonyesha fedha alizotoweka nazo ni shilingi Milioni 1.7.
  
Kufuatia hali hiyo kamanda kamgisha amesema tayari halmashauri imemfungulia mashtaka katika kituo cha polisi Kahama mjini na kuwa jeshi lake linamsaka popote pale alipo ili kumfikisha mahakamani kujibu tuhuma hizo.
  
Kwa upande wake mkurugenzi wa halmashauri ya mji wa Kahama Bw. Felix Kimario pamoja na kukiri kumfungulia mashtaka Afisa mtendaji huyo amesema tayari ameshamwandikia barua ya utoro kazini baada ya kutoweka kwenye kituo chake cha kazi kwa muda mrefu bila taarifa.
  
Amesema pamoja na barua hiyo maandalizi ya kumfukuza kazi kwa utoro kazini taratibu zake za kikazi zinaendelea kufanyika huku akikiri Afisa huyo kutoweka na fedha hizo za mradi wa maji kwa wananchi wa kata ya Malunga

Kiuno chamchengua Ommy Dimpoz


Friday, January 23, 2015

Kiuno cha Demu wa Diamond Chamchengua Ommy Dimpoz


Umbile la mwanadada aliyefahamika kwa jina moja la Avril kutoka Kenya ambaye aliwahi kudaiwa kutoka kimapenzi na Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’, hivi karibuni lilionesha kumchengua msanii wa Bongo Fleva, Omari Faraji ‘Ommy Dimpoz’ baada ya kutupia picha inayomuonesha akikitolea macho kiwowowo cha demu huyo.

Ommy alifanya hivyo kupitia ukurasa wake wa Instragram baada kuiweka picha hiyo kisha kuanza kukisifia kijungu cha Avril kiasi cha kumfanya mmoja wa mashabiki wake atupie maoni akisema:“Unaonekana kaka wewe ni mgonjwa wa wanawake waliofungashia, ila huyu demu mkali.”

Friday 23 January 2015

7 things to make you feel good

7 things to make you feel good

☆Take heart in this baker’s half-dozen of indulgences that can make you feel better and live longer.

If you feel as though everyone’s on your case about working out, avoiding fat-laden foods and not being a couch potato, don’t despair. Luxuriate in these cheap and easy luxuries. No thousand-dollar-a-minute health spas here – these are things you can do anywhere.

Stretch. As children, we start off being able to do the splits, climb trees and crawl through small spaces all day long, with no ill-effects. Once we reach adulthood, we spend our days sitting down and our agility takes a dive. Then mowing the lawn leaves us feeling stiff and creaky. Get flexible again by doing a range of stretches each morning. If you only do two, make it these: start with sitting up in bed. Keep your fingers intertwined and your palms facing outward reach above your head, tilting your head to follow your hands. Breathe in as you reach up and breathe out as your hands come down.

Drink wine. If you’re a teetotaler for whatever reason, there’s no need to start, but if not, have one glass of red with your supper. Wine contains resveratrol and a number of other antioxidants. It protects the body against heart disease, high blood pressure, cholesterol and stroke, as well as colon cancer, prostate cancer, melanoma and leukaemia.

Laugh. Find something that unfailingly makes you emit a belly-laugh, whether it’s your home video of Uncle Cyrus falling into the swimming pool, your scratchy old copy of Dinner for One, the works of PG Wodehouse or playing with your cat. Laughing lowers blood pressure, activates the immune system and stimulates breathing.

Have sex. Apart from feeling pleasant (If you haven’t noticed this, you may be doing it all wrong), it has health benefits. Like laughter, it prompts the release of endorphins, the so-called feel-good hormones. It can be mildly to excruciatingly aerobic and it tends to be good for relationships.

Sleep. Nodding off is a refuge, a haven from the cares of the world and your body’s way of coping with the masses of sensory input with which we deluge it daily. It’s when your brain does its filing, sorting out memories. The ability to get a good night’s sleep may be one of the single most important factors in staying healthy. If, after cutting back on caffeine and getting some light exercise during the day, you’re still unable to sleep, speak to your doctor.

Drink tea. Long thought to be good for you, tea has been shown to have a staggering array of health benefits.

Sweat. Some people shy away from the idea of exertion, but if you make aerobic exercise a habit you’ll find it’s almost addictive. Exercise triggers endorphins and regular, vigorous exercise leads to the so-called runner’s high, which can be so euphoric it’s a wonder it’s legal.

Wednesday 21 January 2015

Galaxy S6 to ditch Qualcomm in favour of Samsung Exynos chip

Galaxy S6 to ditch Qualcomm in favour of Samsung Exynos chip Samsung Exynos chip


SAMSUNG WILL DITCH QUALCOMM and use its own microprocessors in the next version of the Galaxy smartphone, expected to be called the Galaxy S6.

The Korean firm is said to be dropping Qualcomm's Snapdragon processor owing to overheating problems during testing, according to "people with direct knowledge of the matter", Bloomberg said.

Samsung will not, therefore, use the Snapdragon 810 and will instead supply the processor from its own Electronics arm.

The decision will be damaging for Qualcomm, which has made chips for most of Samsung's best selling phones. The firm's shares fell on the news.

It also suggests that Samsung is trying to become more self-reliant and make use of its growing processor division. The firm recently spent $15bn on a new factory outside Seoul.

"Samsung may release the next Galaxy S as early as March, and it can't take the risk of using any of the chips in question for its most important model," Song Myung Sup, a Seoul-based analyst at HI Investment & Securities, told Bloomberg.

LG made a similar move last year, entering the chip market for the first time with a smartphone processor called Nuclun.

The chip made its debut in the G3 Screen, a smartphone developed specifically for the Korean market.

The Nuclun features an eight-core architecture and LTE-A Cat 6 network capability "for high performance and low energy consumption".

Making its own processors might make it faster for LG to develop smartphones, but it remains to be seen whether the strategy will prove successful in the long term.

Either way, it certainly isn't good news for Qualcomm, which also supplies chips for LG Android smartphones

Galaxy S6 release date, specs and price

  • Tweet 
  • LinkedIn 
  • Facebook 
  • Google plus 
  • Send to Kindle
  • Send to 

SPECULATION SURROUNDING the so-called Galaxy S6 are already coming through thick and fast, suggesting that Samsung could be planning an imminent launch.

This wouldn't be all that surprising. Samsung's fortunes have taken a turn for the worse this year, after the firm posted a 60 percent fall in profit in the third quarter owing to slowing sales of its smartphone line-up.

Samsung Galaxy S5 has a 5.1in 1080p HD Super AMOLED screen

Samsung is no doubt looking to turn this around, and will be hoping that the Galaxy S6 will help.

We've rounded up everything we know about the Galaxy S6 so far, including release date, price and specifications. Be sure to keep this page bookmarked as we'll be updating it as soon as we hear more.

Release date
While it's still unclear when the Galaxy S6 will make its debut, rumours are pointing to an unveiling at Mobile World Congress at the beginning of March 2015.

If last year's Galaxy S5 launch is anything to go by, the S6 will go on sale a month or two later.The Galaxy S5 launched in February before arriving on shelves on 11 April

Price
There's no word yet regarding how much the Galaxy S6 will cost at launch. However, we'll assume that it will be priced similarly to last year's model, which Samsung offered from £579 SIM-free.  

Specs
If online speculation is to be believed, Samsung will 'go back to the drawing board' with the Galaxy S6 in a bid to boost the firm's faltering smartphone business.

Taking a leaf out of Apple's book, the Galaxy S6 will reportedly be crafted from metal as Samsung edges away from plastic smartphones which could be to blame for slowing sales.

Weight has been further added to this rumour courtesy of Nowhereelse.fr, which has posted an image of a metal frame allegedly belonging to the Galaxy S6 (below). Since, however, others have claimed this is in fact an early Galaxy A5 prototype.

Galaxy S6 metal body leak

 

According to a report at Business Insider, Samsung will be launching a second version of the Galaxy S6 alongside the metal version. This model reportedly will feature a curved display, similar to that seen on the Galaxy Note Edge.

VoucherCodes.co.uk, for example, suggests that the Galaxy S6 will feature a 5.5in curved display, and has provided a mock up of what it could like like (below).

Conflicting with previous rumours, the website also speculates that the handset will feature a rubberised-plastic rear.

Galaxy S6 mock up

The display is expected to have a higher resolution than the Galaxy S5, which featured a 1,920x1,080 Full HD display. It's likely that Samsung will look to challenge the likes of the Nexus 6 and LG G3 with a QHD 2,560x1,440 screen resolution.

Much like the Galaxy S5, this display will be paired with a fingerprint scanner. However, rather than the swipe-based offering on the Galaxy S5, Sammobile claims that Samsung will opt for a touch-based sensor, similar to that found on the iPhone 6.

With a February launch on the cards, it's also likely that the Samsung Galaxy S6 will arrive running Google's Android 5.0 operating system.

If a recent video leak of Lollipop running on the Galaxy Note 3 is anything to go by, Samsung will skin the Material Design interface with its custom TouchWiz offering while retaining Google's redesigned fonts and logos.

Google Android Lollipop

With Android 5.0 onboard, it has also been suggested that the Galaxy S6 will launch with a 64-bit processor. This is likely to be Samsung's own Exynos 7420 or Qualcomm's Snapdragon 810.

According to speculation, the handset will feature Samsung's Exynos LTE modem and Broadcom’s new BCM4773 processor, which combines GPS and other sensors on a single chip.

There's also talk that the handset will feature even faster 4G speeds than its predecessor, with a report via GforGames claiming that the Exynos chip will feature Cat 10 LTE support, allowing for download speeds up to 450Mbps.

The Galaxy S6 is expected to feature a 16MP camera with "better Optical Image Stabilisation than the Galaxy Note 4", a 5MP front-facing camera, and 32GB, 64GB or 128GB internal storage. Samsung has apparently canned the 16GB model.

According to a report at SamMobile, Samsung will also debut the 'Galaxy S6 Edge' alongside its next flagship smartphone, which will feature a quirky curved screen similar to that seen on the Samsung Galaxy Note Edge.

No further details about the mooted handset have yet been spilled. µ

  • Tweet 
  • LinkedIn 
  • Facebook 
  • Google plus 
  • Send to Kindle
  • Send to 
Visitor comments
Add comments
More on Phones