Saturday 17 January 2015

Mapungufu makubwa ya Serikali ya awamu ya nne

Jan 17, 2015

Mapungufu makubwa ya Serikali ya awamu ya nne

Wanajamvi it it hightime tujadili mapungufu ya serikali iloyopo madarakani ili hawa wanaojipitisha kutaka urais, watupe sera zao zitakuwaje: mimi niliyoyaona ni yafuatayo
1. Elimu imeendelea kushuka ubora
2. Maslahi ya wafanyakazi hayakujaliwa ili waongezeg tija.
3. Suala la afya kwa jamii halikupewa kipaumbele
4. Vijana wengi hawana ajira
5. Rushwa imekithiri kila maeneo mpaka inaonekana ni jambo la kawaida.
6. Muungano umetetereka kwa kuruhusu zanzibar izidi kufanya mambo yao
7. Heshima ya tanzania imepungua sana nje rais amekuwa ombaomba sana.
8. Usalama wa wanainchi umezidi kuwa shakani kuibuka kwa mabomu kila kona ya tanzania
9. Nchi yetu kuanza kumegwa huku tunatizama eg lake nyasa.
10. Kushidwa kuyaboresha makampuni yaliyochini ya serikali eg ATCL serikali haijatoa mtaji wala kununua ndege hata moja.

0 comments:

Post a Comment